Saturday 16 April 2011

SAIDIA SAIDIA YATIMA. MTOTO HASTAHILI KULEA WATOTO.!!!


Huyu ni MTOTO mwenzetu na mwanafunzi wa shule ya msingi wilayani Makete, kata ya Lupalilo akipika na kuuza POMBE ya kienyeji -KOMONI, ili kupata fedha za matumizi nyumbani. MTOTO huyu ndiye mlezi wa familia yake baada ya wazazi kufariki duni.
Photo credit of FG Mzee wa Matukio.


No comments:

Post a Comment