Saturday 16 April 2011

MAMA WA KWANZA SALMA KIKWETE AZINDUA WODI YA WAZAZI/WATOTO NANYUMBU 14 APRILI, 2011


Mtoto wa Bi Rehama Twaribu akifurahia maisha mapya mikononi mwa Mama Salma Kikwete mara baada ya kuzaliwa ktk kituo kipya cha Mangaka Nanyumbu.
 
Mama wa Kwanza Salma Kikwete akiwasalimu WATOTO waliofika kumsabahi na kumshuhudia akizindua wodi ya wazazi ktk kituo cha afya Mangaka -Nanyumbu(w)


No comments:

Post a Comment