Saturday 16 April 2011

BALOZI PETER KALLAGHE AFANYA ZIARA YA SIKU 3 NA AFURAHISHWA NA TIMU YA WATOTO NYOTA YA WATANZANIA -UINGEREZA


















1.Balozi Peter Kallaghe akiwa na  WATOTO Watanzania Nyota
wa mpira wa miguu huko Reading,Berkshire. Pamoja naye Mohamed
Upete (Mhazini wa TA); Dr.John Lusingu (M/kiti TA-UK); Maina
Owino (M/kiti CCM UK) na Viongozi wa RECO Academy.


3.Balozi Kallaghe akitoa mawaidha ya kiufundi ya kuisaidia Timu
ya Michezo Nyota ya Watanzania waishio Reading, UK. Alisisitiza
kwamba Watanzania ni lazima tutilie mkazo Michezo yote kwa kasi
zaidi ili Tanzania inufaike na Uchumi wa Michezo yote Duniani.

No comments:

Post a Comment