Friday 27 May 2011


















HAWA KESHO WATANUNUA/JENGA BOTI ZA KUVULIA NA MASHINE ZA KUSINDIKA SAMAKI.

HUYU KESHO ATANUNUA TREKTA YA KULIMIA, KUVUNA NA MASHINE ZA KUSINDIKA  MAZAO YA MUHOGO.
MFUNDISHE NA MWELEKEZE VIZURI KESHO ATAKUA PROFESA NA MTAFITI MWANDAMIZI.
Young Maasai boys



UPENDO,AMANI  NA UMOJA WA KITAIFA HUANZIA KATIKA UMRI WA KINDA. WATOTO KUUNGANA PAMOJA KUTAZAMA CHANGAMOTO ZILIZO MBELE YAO, KUBEBA NA KUSAIDIANA PALE WADOGO WANAPOCHOKA KTK SAFARI YA MAENDELEO NA KUGAWANA HATA KIDOGO KILICHOPO MPAKA SAFARI IKAMILIKE. HUO NDIO MPANGO WA KURITHISHANA UKOMBOZI NA UONGOZI KTK JAMII. UPINZANI UNAKUA SASA SI WA KIITIKADI BALI PALE WADOGO WATAKAPOONA WAKUBWA NDIO WAMEFAIDI MASURUFU YOTE WENYEWE.


WATOTO WA TANZANIA WAKISOMA KATIKA MAZINGIRA MAGUMU.

Kwa muda mrefu sasa, jamii imekuwa ikiwatupia mzigo mkubwa wa lawama walimu pindi ufaulu wa wanafunzi unapo kuwa duni. Kimantiki lawama hizo zinaweza kuwa na mashiko. Hii inatokana na ukweli kuwa ubora wa elimu itolewayo unategemea sana uwepo wa walimu wenye sifa,vifaa vya kufundishia na kujifunzia, mitaala thabiti na thahili,ushirikiano wa walimu, wanafunzi, wazazi,wadau wa elimu na tathmini sahii ya mtaala inayokubalika

Wednesday 11 May 2011

US ‘conflict minerals’ law bad for Africa-Tech firms

Children at an open mine. The supply chain for “conflict minerals” is long and complex, making it difficult to prove that the materials did not originate in areas under DRC rebel control. Photo/AFP


Children at an open mine. The supply chain for “conflict minerals” is long and complex, making it difficult to prove that the materials did not originate in areas under DRC rebel control. Photo/AFP

Representatives of American high-tech industries are warning that a law intended to promote peace in the Democratic Republic of Congo could result in a “de facto embargo” of minerals mined in many African countries.
But the Obama administration as well as Africa-focused activist groups are defending the law known as the Dodd-Frank Act in honour of its two main sponsors in the US Congress.
The law requires US companies making use of four minerals — tin, tantalum, tungsten and gold — to demonstrate to US regulators that they have sought to ensure that the imports are not helping finance rebel groups in the eastern DRC. Congo itself is a significant but not irreplaceable source of these metals, industry analysts say.
But Dodd-Frank applies to imports of the four minerals not only from the DRC but from the nine neighbouring countries, including Tanzania, Uganda, Rwanda and Burundi.
The supply chain for these “conflict minerals” is so long and complex that there is at present no way for American tech companies to prove that the materials did not originate in areas under DRC rebel control, said Rick Goss, a spokesman for the US Information Technology Industry Council.
Tantalum is particularly important to makers of consumer products such as mobile phones and laptops.
But Dodd-Frank requires companies such as Microsoft, Intel and Hewlett-Packard to show that comparatively small imports of the other three listed minerals also did not originate in areas where an estimated five million Congolese have died as a result of chaotic violence during the past 15 years.
For these reasons, Mr Goss warned last week at a think-tank forum in Washington, US tech firms could initiate a “de facto embargo” of mineral imports from eastern and central African countries that make up about 40 per cent of the continent’s land mass.
“There are hundreds of thousands of people, perhaps more, in central Africa who rely on mining and related activities as their sole source of income,” Goss said at the Centre for Strategic and International Studies.
Dodd-Frank could inadvertently result in them having “no income whatsoever,” added the tech industry council’s vice president for sustainability.
The battle over Dodd-Frank is escalating at present even though it became law months ago. Rules needed to implement the conflict minerals measure were supposed to be promulgated at the end of March

MOTHER OF SEVEN IN COURT OVER ARBOTION.!!

Laban Walloga | Nation Ms Saum Mwachambuni (right), the mother of 27-year-old Suleiman Hassan, is consoled by a relative after she broke down in tears in Mombasa on May 10, 2011. Hassan died in Somalia as an al Shabaab fighter.
A mother of seven was on Monday charged with procuring an abortion and disposing of the foetus in a nursery school compound. Ms Nancy Nyawira Wanjama, who appeared in a Nyahururu court admitted committing the offence on May 4, in Suswa area, Subukia District.

Prosecutor James Koech told resident magistrate Daniel Musyoka that villagers informed officers at Suswa Police Patrol Base that a foetus had been found at Gatagati Nursery School, prompting officers to launch investigations.

The villagers rounded up four suspects, who were searched by elderly women. Ms Wanjama was found to have signs of having given birth but was unable to explain to the police where the baby was. On further interrogation, the 36-year-old woman admitted thaving given birth and led police to the school where she had disposed of the foetus. She was arrested and escorted to Subukia Police Station and a medical report prepared confirming that she had given birth to a pre-mature baby.

In mitigation, a tearful Wanjama pleaded for leniency, telling the magistrate that she had seven children depending on her and that her husband could not fend for the family. She said that they were landless and that they lived in a rented house, adding that they were experiencing tough times because inflation was very high. “My first born is in Standard Eight and is preparing to sit the national exam so he cannot take care of his younger siblings. I am the only one who is responsible and I cannot afford another child so I procured an abortion,” she said. The accused was remanded in Nyahururu Women’s Remand Home until May 11 when the magistrate will receive a probation report before passing the sentence.

Tuesday 3 May 2011

OSAMA BIN LADEN: MURDER OF PARENTS AND CHILDREN IS DEAD

HEADS HAD TO TAKE DECISION FOR THE SAKE OF THE SAFER WORLD AND CHILDEN



AFTER KEEN N' ACCURATE INTELLIGENCE ADVICE, THE RUTHLESS MURDER OF PARENTS AND CHILDREN IS KILLED.......

NOW CHILDREN CAN SLEEP SAFELY.


















Monday 2 May 2011

LET MAY DAY, 2011 BE THE DAY TO END CHILD LABOUR.


IS THE WORLD REALLY LISTENING ?
WE HAVE VIRGIN LAND, MINERAL RESOURCES AND VAST FORESTRY BUT WE HAVE TO WORK 12 HRS A DAY, WITHOUT HEALTH AND SAFETY REGIMES, JUST TO FEED OURSELVES UNLIKE FELLOW PEERS SOMEWHERE!! WHAT HAS GONE WRONG? 

IS THERE A CURSE OF SEVERE SHORTAGE AND OF EXCESSIVE ABUNDANCE OF BASIC RESOURCES AS WITH REGARD TO WORKING AND PROVIDING FOR CHILDREN IN THE SOCIETY?

WE, CHILDREN, LABOR TO BUILD VILLA AND LOOK WHO SLEEPS IN THEM

WE LABOR HARD TO FARM AND CHECK WHO IS FEEDING!!


CHILDREN WORK N' SLEEP IN DEEP DIAMOND/GOLD MINES TO MAKE YOU GLAMOUROUS.

PLEASE..PLEASE...PLEASE
OR  WE WILL TAKE ACTION..




Sunday 1 May 2011

EAST AFRICA BUSINESS TO BENEFIT CHILDREN COMPETITION

EAST AFRICA – Entrepreneurs in Tanzania and Uganda can apply for the Business Benefiting Children, a competition for businesses that improves the environment in which young children grow up.

The competition has been organised by BiD Network and the Bernard van Leer Foundation. BiD Network is an organisation whose mission is to encourage and promote entrepreneurship and Bernard van Leer Foundation is an international grant making foundation based in The Hague, The Netherlands.

To be eligible for this competition your business should have a positive impact on young children by improving the physical environment in which they grow up in by providing services such as better housing, cleaner energy, sanitation solutions, safer transport, safe places to play and clean water.

You should be running a business that has a financing need of between US$10,000 and US$1,000,000 and is likely to be profitable in the next three years.

Selected finalist in the competition will be invited on a business trip for training and investor meetings where they will meet more than 100 investors. They will also attend the Business Benefiting Children Week and Award Event.

Applicants whose business plans are not selected in the finals will also stand the chance of joining the BidNetwork Matchmaking for Entrepreneurs, a   platform where entrepreneurs are connected with potential financiers and investors.
Applicants seeking advice and coaching on drafting their business plans should make submissions by 31st March 2011.  The deadline for submitting full business plans is 31st May 2011.

KESI YA HAPPY FREDDY wa MIKOCHENI IHARAKISHIWE HUKUMU

HAPPY FREDDY (28), mkazi wa Mikocheni, anashikiliwa na Polisi kwa kosa la kusababisha kwa makusudi kifo cha mtoto wa kiume wa siku moja kwa kumdumbukiza chooni. Kamanda mkoa-polisi wa Kinondoni Bw. Charles Kenyela ametaarifu kuwa, tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 8 mchana huko maeneo ya Mikocheni 'A'.

Kenyela amesema kuwa, taarifa hiyo iliifikia polisi baada ya wifi wa mtuhumiwa aitwae Shadya Ally (18) kupeleka taarifa kituo cha polisi Osterbay. Amesema mtuhumiwa akiwa nyumbani kwake Mikocheni alianza kusikia uchungu wa kuashiria kutaka kujifungua na alimuomba wifi yake huyo amsindikize hospitali .

Kamanda akiendelea kutoa taarifa hiyo alisema kuwa, walianza safari ya kumpeleka hospitali lakini wakiwa njiani ghafla mtuhumiwa ambae ni ‘Happy’ alimwambia wifi yake huyo kuwa anajisikia haja na alishuka eneo hilo kwenda chooni kujisaidia na Shadya alimsubiri nje.

Amesema ghafla Shadya akiwa nje alisikia sauti ya mtoto ikilia kutoka chooni humo na aliamua kuingia na kukuta kichanga cha jinsia ya kiume kikiwa kimeegeshwa pembezoni mwa tundu la choo na kutoelewa ilikuwaje.

Kenyela alisema” wifi mtu aliamua kuwasha tochi ya simu yake ya mkononi na alimwona vizuri mtoto huyo na ghafla mtuhumiwa alikisukumiza kichanga hicho ndani ya tundu la choo kwa mguu wake na kwa madai kuwa alikuwa ameharibika. Hivyo kufuatia tukio hilo Shadya aliomba msaada kwa majirani na kutoa taarifa kituo cha polisi kuomba kuopolewa kwa kichanga hicho na walifanikiwa kuokoa mwili huo kwa kushirikiana na polisi ukiwa tayari mfu.

Mtuhumiwa anaendelea kuhojiwa na polisi kufuatiwa tukio hilo. watotoz.blogspot.com inapendekeza kuwa mashauri ya mashtaka kama haya ya wazi, yanayowahusu watoto wasioweza kujitetea,  yasiigharimu serikali uchumi mkubwa kufikia hukumu. HAYA NI MAUAJI YA TAIFA.
                                          Habari za awali na Pilly Kigome wa Dar es salaam.

LU HAO MTOTO WA MIAKA 3 NA UZITO WA KILO 60: MAMBO YA CHINA


LU HAO: Can be free to take care of his Chinese enviroment.

LU HAO is very happy when he swims alone

LU HAO drives well his in-house scooter made in CHINA.

LU HAO enjoys his usual x2 CHINESE chicken.
Photo credit of Nifahamishe.com.

HAPPYBIRTHDAY PRINCESS ASIA MAHMOUD ZUBEIRY{4}


SIKU KUU YA KUFANA, NDEREMO NA VIFIJO VILITANDA KILA MAHALI KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YA MIAKA 4 YA  MTOTO MALKIA ASIA M. ZUBEIRY. PONGEZI KWA MAMA MZAZI DINA ISMAIL KWA MALEZI MAZURI SANA. KILA LA KHERI, AFYA NJEMA, MAADILI MEMA NA  SHULE LAZIMA ILI UFURAHIE MAISHA BORA BAADAYE. watotoz.blogspot.com INATOA PONGEZI ZA DHATI..HAPPY BIRTHDAY ASIA.